Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 49:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 “Nafutali ni kama pongo anayekuwa huru, anayezaa watoto wanaokuwa wazuri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 49:21
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Rakeli akasema: “Nimepigana mapigano makubwa na dada yangu, nami nimeshinda.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Nafutali.


Nafutali na wana wake: Yaseli, Guni, Yeseri na Silemu.


Wazee wale wakamujibu: “Ukiwahurumia watu hawa, ukiwafurahisha na kusema nao maneno mazuri, pale watakuwa watumishi wako siku zote.”


Ni muzuri kama pongo, anapendeza kama paa. Mapenzi yake yakufurahishe kila wakati, uvutwe siku zote na mapendo yake.


Ninawasihi, enyi wabinti wa Yerusalema, kama vile paa au swala wanavyokuwa katika pori, musichochee wala kuamusha mapenzi, mpaka pale wakati wake utakapofika.


Hata kulungu anazaa katika pori na kuacha kitoto chake, kwa sababu hakuna majani.


Juu ya kabila la Nafutali akasema: “Ee Nafutali uliyeshibishwa upendeleo, uliyejaa baraka za Yawe, inchi yako ni mpaka kwenye ziwa Kinereti na upande wake wa kusini.”


Baraka akayaita makabila ya Nafutali na Zebuluni kule Kedesi. Watu elfu kumi wakamufuata. Debora akaenda pamoja naye.


Siku moja akamwita Baraka mwana wa Abinoamu wa Kedesi katika inchi ya Nafutali. Alipokuja akamwambia: “Yawe, Mungu wa Israeli, anakuamuru hivi: ‘Kwenda ukusanye watu wako kwenye mulima Tabori, uchague watu elfu kumi kutoka makabila ya Nafutali na Zebuluni.


Watu wa Zebuluni ni watu waliohatarisha maisha yao katika kifo. Hata wa Nafutali walisogelea kifo kwenye miinuko ya mashamba.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ