20 “Inchi ya Aseri itatoa mavuno kwa wingi, naye atatoa chakula kinachofaa kwa mufalme.
Lea akasema: “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Aseri.
Aseri na wana wake: Imuna, Isiwa, Isiwi, Beria na Sera, dada yao. Beria na wana wake: Heberi na Malkieli.