Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 49:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 “Ee Yawe, ninangojea uniokoe!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 49:18
32 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Atakuwa kama nyoka katika njia, nyoka mwenye sumu kando ya njia, anayeuma visigino vya farasi, naye mupanda-farasi anaanguka machali.


Ee Yawe, ninakungojea uniokoe; mimi ninatimiza amri zako.


Ninatamani sana uniokoe, ee Yawe; sheria yako ndiyo furaha yangu.


Wema wako unifikie, ee Yawe; uniokoe kama ulivyoahidi.


Kama watumishi wanavyomutegemea bwana wao, kama mujakazi anavyomutegemea bibi mukubwa wake, ndivyo nasi tunavyokutegemea wewe, ee Yawe, Mungu wetu, mpaka hapo utakapotuonea huruma.


Ninamutumainia Yawe kwa moyo wangu wote. Ninaaminia sana neno lake.


Heri ukombozi wa Israeli ungefika kutoka Sayuni! Yawe atakapotengeneza hali ya watu wake, wazao wa Yakobo watashangilia; watu wa Israeli watafurahi.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa Yedutuni. Zaburi ya Daudi.


Mumepanga kuniangusha toka nafasi yangu ya heshima; furaha yenu ni kusema uongo. Kwa maneno, munabariki, lakini ndani ya moyo munalaani.


Hautatujalia tena maisha mapya, kusudi watu wako wafurahi kwa sababu yako?


Yawe ananijalia nguvu na uwezo, yeye mwenyewe ndiye anayeniokoa. Yeye ni Mungu wangu nami nitamusifu; ni Mungu wa baba yangu nami nitamutukuza.


Mwovu anaangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwenye haki atapata usalama kwa uaminifu wake.


Siku ile, watu wote watasema: Huyu ndiye Mungu wetu! Tumemungojea atuokoe. Huyu ndiye Yawe tuliyemutazamia. Mukuje tufurahi na kushangilia kwa sababu ametuokoa.


Hata hivyo, Yawe anangoja kuwasamehe, atasimama na kuwaonea huruma. Yawe ni Mungu wa haki. Heri wote wale wanaomutumainia.


Ee Yawe, utuonee huruma, kwako tumeliweka tumaini letu. Ukuwe kikingio chetu kila siku, mwokozi wetu wakati wa taabu.


Basi, mufanye mapatano na bwana wangu mufalme wa Asuria. Mimi nitawapatia farasi elfu mbili, kama mutaweza kupata waaskari wapanda-farasi.


Nitamungojea Yawe ambaye amejificha mbali na wazao wa Yakobo; nitamutumainia.


Yawe ni muzuri kwa wanaomutegemea, kwa wote wanaomutafuta.


Lakini ninyi mumurudilie Mungu wenu. Mushikamane na wema na haki, mumutumainie Mungu wenu siku zote.


Lakini mimi ninamutumainia Yawe, ninamutazamia Mungu mwenye kuniokoa; Mungu wangu atanisikiliza.


Yeye atazaa mutoto mwanaume, nawe utamwita jina lake Yesu, kwa maana ndiye atakayewaokoa watu wake toka katika zambi zao.”


Halafu malaika akamwambia: “Maria, usiogope, kwa maana Mungu amekujalia neema.


Wakati ule katika Yerusalema kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Simeoni. Mutu huyo alikuwa mwenye haki na mwenye kuogopa Mungu. Alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa taifa la Israeli. Roho Mutakatifu alikuwa pamoja naye;


Nimejionea mwenyewe wokovu unaotoka kwako,


Viumbe vyote vinangojea kwa hamu sana wakati Mungu atakapowaonyesha watoto wake waziwazi.


Lakini tukitumainia kitu tusichokiona, tunakingojea kwa uvumilivu.


Lakini sisi tunangojea kwa matumaini kwamba kwa uwezo wa Roho, tutahesabiwa haki kwa njia ya imani.


na kungojea Mwana wake Yesu kutoka mbinguni. Ni yule Mungu aliyemufufua, naye ndiye anayetuokoa toka kasirani ya hukumu ya Mungu inayokuja.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ