17 Atakuwa kama nyoka katika njia, nyoka mwenye sumu kando ya njia, anayeuma visigino vya farasi, naye mupanda-farasi anaanguka machali.
“Dani atakuwa mwamuzi wa watu wake, kama moja ya makabila ya Israeli.
“Ee Yawe, ninangojea uniokoe!
Kutoka kabila la Nafutali: majemadari elfu moja pamoja na watu elfu makumi tatu na saba wenye ngao na mikuki.
Kwa mwisho inauma kama nyoka; inachoma kama fira mwenye sumu.
Nyoka ya muchawi ikiuma mbele haijachochewa, hakuna faida tena kwa muchawi.