Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 49:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 “Dani atakuwa mwamuzi wa watu wake, kama moja ya makabila ya Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 49:16
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Rakeli akasema: “Mungu amenitendea sawa, amesikia kilio changu na kunipa mutoto mwanaume.” Akamwita mutoto yule Dani.


Aliona kwamba pahali pa kupumzikia ni pazuri, na kwamba inchi ni ya kupendeza, akauinamisha mugongo wake kubeba muzigo, akakuwa mutumwa kwa kufanya kazi za kinguvu.


Atakuwa kama nyoka katika njia, nyoka mwenye sumu kando ya njia, anayeuma visigino vya farasi, naye mupanda-farasi anaanguka machali.


Mwisho, wale waliokuwa chini ya bendera ya jeshi lililoongozwa na kabila la Dani, waliokuwa kama walinzi nyuma ya majeshi yote, wakasafiri, kundi moja nyuma ya lingine. Hawa waliongozwa na Ahiezeri mwana wa Amishadai.


Juu ya kabila la Dani akasema hivi: “Dani ni mwana-simba anayeruka kutoka Basani.”


Kulikuwa mutu mumoja kule Zora, wa kabila la Dani, jina lake Manoa. Muke wake alikuwa tasa.


Samusoni akakuwa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka makumi mbili, nyakati za Wafilistini.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ