Aliona kwamba pahali pa kupumzikia ni pazuri, na kwamba inchi ni ya kupendeza, akauinamisha mugongo wake kubeba muzigo, akakuwa mutumwa kwa kufanya kazi za kinguvu.
Nyuma ya kifo cha Abimeleki, Tola mwana wa Puha mujukuu wa Dodo, wa kabila la Isakari, akatokea kuwakomboa Waisraeli. Tola aliishi Samiri katika inchi ya milima ya Efuraimu.