Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 49:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 “Isakari ni kama punda mwenye nguvu, anayejilaza kati ya mizigo yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 49:14
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lea akasema: “Mungu amenipa mushahara wangu kwa sababu nilimupa mume wangu mujakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Isakari.


Aliona kwamba pahali pa kupumzikia ni pazuri, na kwamba inchi ni ya kupendeza, akauinamisha mugongo wake kubeba muzigo, akakuwa mutumwa kwa kufanya kazi za kinguvu.


Kutoka nusu ya kabila la Manase: watu elfu kumi na nane, waliotajwa majina kwa kuja kumuweka Daudi kuwa mufalme.


“Wafalme na majeshi yao wanakimbia ovyo!” Wanawake waliobaki ndani ya nyumba waligawanya vitu vilivyonyanganywa,


Alimuchagua Daudi, mutumishi wake, akamutoa katika kazi ya kuchunga kondoo.


Basi, wakamwendea Musa, wakamwambia: Kwanza uturuhusu tuwajengee kondoo wetu mazizi, na watoto wetu miji hapa.


Juu ya kabila la Zebuluni akasema: “Zebuluni na Isakari mufanikiwe katika shuguli zenu na munapokuwa katika mahema yenu.


Nyuma ya kifo cha Abimeleki, Tola mwana wa Puha mujukuu wa Dodo, wa kabila la Isakari, akatokea kuwakomboa Waisraeli. Tola aliishi Samiri katika inchi ya milima ya Efuraimu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ