13 “Zebuluni ataishi pembeni ya bahari, kivuko chake kitakuwa pahali pa kuegesha mashua. Mupaka wa inchi yake ni Sidona.
Akasema: “Mungu amenipa zawadi bora. Sasa mume wangu ataniheshimu kwa maana nimemuzalia watoto sita wanaume.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Zabuluni.
Macho yake ni mekundu kwa divai, meno yake ni meupe kwa maziwa.