Mwanzo 48:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Yakobo akaendelea kusema: “Wana wako wawili uliowapata hapa Misri mbele sijafika, ni wana wangu. Efuraimu na Manase watakuwa wangu kama vile Rubeni na Simeoni wanavyokuwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |