Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 48:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Zaidi ya hayo, nimekupa wewe, wala si wandugu zako, eneo moja kwenye milima, nililowanyanganya Waamori kwa upanga na upinde wangu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 48:22
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wazao wako watarudi hapa katika kizazi cha ine, kwa sababu uovu wa Waamori haujakamilika bado.”


Sehemu hiyo ya inchi ambako alipiga kambi aliinunua kutoka kwa wazao wa Hamori, baba ya Sekemu, kwa vikoroti mia moja vya feza.


Walitwaa kondoo na mbuzi, ngombe, punda na chochote kilichokuwa katika muji au katika shamba.


Kanana vilevile ndiye babu ya Wayebusi, Waamori, Wagirgasi,


Ingawa kabila la Yuda ndilo lililokuja kuwa lenye nguvu zaidi kuliko mengine, na watawala walitoka mule, haki ya muzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu).


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Hii ndiyo mipaka ya inchi mutakayoigawanyia makabila kumi na mawili ya Waisraeli. Lakini kabila la Yosefu lipewe mara mbili.


Hata hivyo, enyi watu wangu, kwa ajili yenu, niliwaangamiza kabisa Waamori ambao walikuwa wakubwa kama mierezi, wenye nguvu kama miti ya mialo. Niliwaangamiza, matawi na mizizi.


Akafika karibu na muji mumoja wa Samaria unaoitwa Sikari, uliokuwa karibu na shamba lile Yakobo alilomupa mwana wake Yosefu.


Anapaswa kukubali yule muzaliwa wa kwanza, mutoto wa yule mwanamuke asiyependwa, na kumupa haki yake: sehemu ya mali zake mara mbili.


Mifupa ya Yosefu ambayo Waisraeli walikuwa wameileta kutoka Misri waliizika kule Sekemu katika eneo ambalo Yakobo alikuwa amelinunua kutoka kwa wana wa Hamori, baba ya Sekemu, kwa bei ya vikoroti mia moja vya feza. Eneo lile nalo likakuwa mali yao wazao wa Yosefu.


Kwa hiyo, Yawe, Mungu wa Israeli, akawafukuza Waamori mbele ya Waisraeli. Sasa, wewe unataka kutunyanganya inchi yetu?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ