Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 48:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Basi, Israeli akawabariki siku hiyo, akisema: “Waisraeli watatumia majina yenu kwa kubariki, watasema: ‘Mungu akutendee mema kama Efuraimu na Manase!’ ” Ndivyo Israeli alivyomuweka Efuraimu mbele ya Manase.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 48:20
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, wakamubariki Rebeka wakisema: “Ewe dada yetu! Ukuwe mama wa maelfu kwa maelfu; wazao wako warizi miji ya waadui zao.”


Mungu Mwenye Nguvu akubariki upate wazao wengi na kuongezeka, kusudi ukuwe jamii kubwa ya watu.


Kisha Israeli akamwambia Yosefu: “Kama vile unavyoona, mimi niko karibu kufa. Hata hivyo, Mungu atakuwa pamoja nanyi, na kuwarudisha katika inchi ya babu zenu.


Haya ndiyo majina ya watu ambao Musa aliwatuma kwenda kupeleleza inchi ya Kanana. Musa akamupa Hosea mwana wa Nuni jina jipya, akamwita Yoshua.


Kwa njia ya imani, Yakobo alipokuwa karibu kufa, alibariki kila mumoja wa wana wa Yosefu; akainama kwa kumwabudu Mungu akiegemea fimbo yake.


Watu wa kabila la Yosefu walimwendea Yoshua, wakamwambia: “Kwa nini umetugawanyia sehemu moja tu ya inchi sisi ambao Yawe ametubariki hata akatufanya tukuwe wengi sana?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ