Mwanzo 48:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200220 Basi, Israeli akawabariki siku hiyo, akisema: “Waisraeli watatumia majina yenu kwa kubariki, watasema: ‘Mungu akutendee mema kama Efuraimu na Manase!’ ” Ndivyo Israeli alivyomuweka Efuraimu mbele ya Manase. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |