Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 48:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Yakobo alipofahamishwa kwamba mwana wake Yosefu amefika kumwona, akajikaza kuamuka, akaikaa juu ya kitanda.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 48:2
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyuma ya mambo hayo, Yosefu akapewa habari kwamba baba yake ni mugonjwa. Hivyo, akatwaa wana wake wawili, Manase na Efuraimu, akakwenda nao kwa baba yake.


Yakobo akamwambia Yosefu: “Mungu Mwenye Nguvu alinitokea nilipokuwa kule Luzu katika inchi ya Kanana, akanibariki.


Nikawaelezea jinsi Mungu alivyokuwa pamoja nami akinitendea kwa wema wake. Nikawaelezea vilevile maneno ambayo mufalme alikuwa ameniambia. Wao waliposikia hayo, wakasema: “Sasa, na tuanze kazi ya ujenzi.” Hivyo wakajitayarisha kwa kazi hiyo njema.


Yawe atamulinda na kuchunga uzima wake, naye atafanikiwa katika inchi; hatamwacha katika makucha ya waadui zake.


Mwana wangu, moyo wako ukiwa wenye hekima, moyo wangu vilevile utakuwa wenye furaha.


Basi kwa kumaliza, musimame imara katika kuungana kwenu na Bwana kwa uwezo wa nguvu zake kubwa.


Lakini umupe Yoshua maagizo, umutie moyo na kumwimarisha, maana yeye ndiye atakayewaongoza watu hawa mpaka ngambo, kurizi inchi utakayoiona’.


Yonatani mwana wa Saulo akamufuata Daudi kule Horeshi, akamutia moyo kwamba Mungu anamulinda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ