Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 48:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Akamwambia baba yake: “Sivyo, baba! Huyu hapa ndiye muzaliwa wa kwanza. Tafazali, uweke mukono wako wa kuume juu ya kichwa chake.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 48:18
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Loti akamwambia: “Hapana vile, ee bwana wangu!


Kisha Rebeka akatwaa nguo bora za Esau, mwana wake mukubwa, alizokuwa nazo kwa nyumba, akamuvalisha Yakobo, mwana wake mudogo.


Labani akamujibu: “Katika inchi yetu hatufanyi hivyo. Si desturi yetu kumwoesha binti mudogo mbele ya mukubwa.


Wandugu za Yosefu waliikaa mbele yake kulingana na umri wao, kuanzia wa kwanza mpaka wa mwisho. Wakakuwa wanaangaliana kwa mushangao.


Yosefu alipoona kwamba baba yake ameuweka mukono wake wa kuume juu ya kichwa cha Efuraimu hakupendezwa. Basi, akaushika mukono wa baba yake, akitaka kuuondoa juu ya kichwa cha Efuraimu auweke juu ya kichwa cha Manase.


Lakini baba yake akakataa, akisema: “Ninajua, mwana wangu, ninajua. Wana wa Manase vilevile watakuwa taifa na wakubwa. Hata hivyo, ndugu yake mudogo atakuwa mukubwa kuliko yeye na wazao wake watakuwa mataifa mengi.”


“Wewe Rubeni ni muzaliwa wangu wa kwanza, nguvu yangu na tunda la ujana wangu. Wewe unawapita wandugu zako kwa ukubwa na nguvu.


Haitakuwa vile! Ni wanaume tu watakaokwenda kumutumikia Yawe, maana hilo ndilo munalotaka.” Halafu Musa na Haruni wakafukuzwa toka mbele ya mufalme.


Lakini wale wenye akili wakajibu: ‘Haiwezekani, mafuta tunayokuwa nayo hayatutoshelei. Afazali muende kwa wachuuzi na kujinunulia yenu.’


Lakini Petro akajibu: “Hapana, hata kidogo Ee Bwana! Mimi sijakula bado kitu chochote kisichoruhusiwa kukuliwa, wala chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu.”


Lakini nikajibu: ‘Hapana, hata kidogo, ee Bwana! Ndani ya kinywa changu hamujaingia bado kitu chochote kisichoruhusiwa kukuliwa wala chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ