Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 48:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Yosefu akawainua wana wake wawili, Efuraimu katika mukono wake wa kuume, akimwelekeza kwenye mukono wa kushoto wa baba yake, na Manase katika mukono wake wa kushoto, akimwelekeza kwenye mukono wa kuume wa baba yake, akawasogeza kwa babu yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 48:13
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yosefu akamwita mwana wake wa kwanza Manase, akisema: “Mungu amenifanya nisahau taabu zangu zote na jamaa ya baba yangu.”


Kule Misri, Asenati binti ya Potifera, aliyekuwa kuhani wa muji wa Oni, alimuzalia Yosefu wana wawili: Manase na Efuraimu.


Hapo Yosefu akawaondoa wana wake kwenye magoti ya baba yake, kisha akainama kwa heshima.


Lakini Israeli akaipishanisha mikono yake: mukono wake wa kuume akauweka juu ya kichwa cha Efuraimu, ingawa alikuwa mudogo na mukono wake wa kushoto akauweka juu ya kichwa cha Manase, aliyekuwa muzaliwa wa kwanza.


Kabila la Yosefu baba ya Manase na Efuraimu.


Ataweka kondoo kwa upande wake wa kuume, na mbuzi kwa upande wake wa kushoto.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ