Mwanzo 47:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Ndivyo Yosefu alivyotangaza sheria moja ambayo iko mpaka leo katika inchi ya Misri. Kila mwanainchi anapaswa kutoa sehemu moja ya tano ya mavuno yake kwa mufalme. Udongo wa makuhani tu ndio haukununuliwa na kufanywa mali ya mufalme. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |