Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 47:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 na Yosefu akawafanya watu kuwa watumwa, kutoka pembe moja mpaka pembe ingine ya inchi ya Misri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 47:21
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yosefu akakusanya chakula chote wakati ule wa miaka saba ya shibe na kukiweka akiba katika miji ya Misri. Katika kila muji akaweka akiba ya chakula kutoka mashamba yanayokuwa karibu na muji ule.


Hivyo Yosefu akainunua inchi yote ya Misri ikuwe mali ya mufalme. Kila Mumisri aliuzisha shamba lake, kwa jinsi njaa ilivyokuwa kali. Inchi yote ikakuwa mali ya mufalme wa Misri,


Udongo ambao Yosefu hakununua ni ule iliokuwa wa makuhani. Hao hawakulazimika kuuzisha udongo wao maana waliishi kwa posho waliyopewa na mufalme.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ