Mwanzo 47:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Mwaka uliofuata wakamufikia tena na kumwambia: “Bwana, ukweli ni kwamba feza yetu yote imekwisha na nyama wetu wamekuwa mali yako. Sasa, bwana, sisi watumishi wako hatuna chochote tunachoweza kukupa isipokuwa miili yetu na mashamba yetu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |