Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 47:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Nyuma ya watu wote wa inchi ya Misri na Kanana kutumia feza yao yote, Wamisri wote walimufikia Yosefu na kumwambia: “Utupatie chakula! Kwa nini tukufe mbele ya macho yako? Angalia, sasa feza yetu imekwisha!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 47:15
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Umutumainie Yawe na kutenda mazuri, upate kuishi katika inchi na kuwa salama.


Ukiwauliza, watakuambia. Sasa ninakuomba vijana wangu hawa wapate kukubaliwa mbele yako, maana tumefika wakati wa sikukuu. Tafazali uwapatie kitu chochote unachokuwa nacho watumishi wako hawa nami mwana wako Daudi.’ ”


Daudi akamujibu: “Niko hapa kutokana na amri ya mufalme. Aliniambia nisimwelezee mutu yeyote juu ya kile ambacho amenituma. Nimeagana na watu wangu kwamba tukutane pahali fulani.


Kutoka kule akawaendea watu wa Penueli, akawaomba namna ileile. Nao watu wa Penueli wakamujibu kama vile watu wa Sukoti walivyomujibu.


Basi, akawaambia watu wa Sukoti: “Tafazali, muwape wenzangu hawa mikate maana wamechoka sana; nami ninaendelea kuwafuatilia Sadaka na Kivuli, wafalme wa Midiani?”


Wakati wa mavuno, sehemu moja ya tano mutamupa mufalme. Sehemu ine zitakazobaki zitakuwa mbegu na chakula kwa ajili yenu na jamaa zenu na watoto wenu.”


Mutu wa namna hiyo anaishi kwenye nafasi ya juu, pahali salama, penye pango na mawe makubwa; atapewa chakula chake siku zote, na maji yake ya kunywa hayatakosekana.


Yosefu akawaambia: “Kama feza yenu imekwisha, basi munipe nyama wenu, nami nitawapa ngano.”


Chakula hicho kitakuwa akiba ya kukinga inchi ya Misri isiangamie kutokana na njaa ya miaka saba itakayofuata.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ