Mwanzo 47:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Basi, Yosefu akakwenda kwa mufalme wa Misri, akamwambia: “Baba yangu na wandugu zangu pamoja na kondoo, ngombe na mali yao yote, wamefika kutoka inchi ya Kanana. Sasa wako katika eneo la Goseni.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |