Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 45:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Wakamwambia baba yao: “Yosefu iko muzima! Yeye ndiye mutawala wa inchi yote ya Misri!” Hapo baba yao akapigwa na bumbuazi, maana hakuweza kuyasadiki maneno yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 45:26
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, wakachinja mbuzi, wakaitwaa kanzu ya Yosefu na kuichovya katika damu ya yule mbuzi.


Watoto wake wanaume na wanawake wakamufikia kwa kumufariji, lakini akakataa kufarijiwa, akisema: “Uniache. Nitaendelea kuomboleza kwa ajili ya mwana wangu, mpaka nitakaposhuka katika kaburi.” Ndivyo baba yake alivyomulilia.


Walipofika katika inchi ya Kanana kwa baba yao Yakobo, wakamwelezea yote yaliyowapata, wakamwambia:


Baba yao Yakobo, akawaambia: “Munaniondolea watoto wangu! Yosefu hayuko, Simeoni hayuko, sasa munataka kumutwaa Benjamina. Hayo yote yanaanguka juu yangu!”


Lakini baba yake akamujibu: “Mwana wangu hatakwenda nanyi. Ndugu yake amekwisha kufa, naye peke yake ndiye aliyebaki. Mimi ni muzee mwenye imvi. Ikiwa kijana huyu atapatwa na hasara yoyote katika safari mutakayofanya basi, mutaniua kwa huzuni.”


mumoja alitoweka, nami nikasema, bila shaka ameraruliwa vipandevipande na nyama wa pori, maana sijapata kumwona tena.


Basi, wakatoka Misri na kurudi kwa baba yao Yakobo, katika inchi ya Kanana.


Kisha Israeli akamwambia Yosefu: “Sikutazamia kuuona uso wako tena, lakini, kumbe, Mungu amenijalia hata kuwaona watoto wako!”


Walipokata tamaa, niliwaonyesha uso wa furaha; walishika muchangamuko wa uso wangu.


Hata kama ningemwita naye akijibu, nisingeweza kuamini kwamba ananisikiliza.


Alimuweka kuwa musimamizi wa serikali yake, na mukubwa wa mali yake yote,


Wimbo wa safari za kidini. Yawe alipoturudisha tena Sayuni, tulikuwa kama watu wanaoota ndoto!


Niliteremuka mpaka kwenye misingi ya milima, katika inchi ambayo milango yake imefungwa milele. Lakini wewe, ee Yawe, Mungu wangu, umenipandisha nikiwa muzima kutoka mule ndani ya shimo.


Lakini mitume hawakusadiki maneno ya wale wanawake, waliwaza kwamba ni ya bure.


Hao waliokusanyika wakawaambia: “Hakika Bwana amefufuka, na amemutokea Simoni!”


Nao walipokuwa hawajasadiki bado kwa sababu ya furaha na mushangao, akawauliza: “Muko na chakula chochote hapa?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ