25 Basi, wakatoka Misri na kurudi kwa baba yao Yakobo, katika inchi ya Kanana.
Walipofika katika inchi ya Kanana kwa baba yao Yakobo, wakamwelezea yote yaliyowapata, wakamwambia:
Basi, Yosefu akaagana na wandugu zake. Walipokuwa wanaondoka akawaonya akisema: “Musigombane katika njia!”
Wakamwambia baba yao: “Yosefu iko muzima! Yeye ndiye mutawala wa inchi yote ya Misri!” Hapo baba yao akapigwa na bumbuazi, maana hakuweza kuyasadiki maneno yao.