Musimwange damu. Mumutumbukize katika shimo hili hapa katika mbuga, lakini musimuzuru.” Alisema hivyo kusudi aweze kumwokoa Yosefu kutoka mikono yao na kisha amurudishe kwa baba yake.
Tena alimupelekea baba yake zawadi hizi kwa ajili ya safari yake: punda kumi waliobeba vitu bora vya Misri, na punda dike kumi waliobeba ngano, mikate na vyakula vingine.