Katika mufuko wa yule mudogo kabisa, uweke kile kikombe changu cha feza, pamoja na feza yake.” Yule musimamizi akafanya kama vile alivyoamuriwa na Yosefu.
Walipokuwa wamesafiri mwendo mufupi tu kutoka muji, Yosefu akamwambia musimamizi wa nyumba yake: “Haraka! Ufuate wale watu, na utakapowakuta, uwaulize: ‘Kwa nini mumelipa mema muliyotendewa kwa maovu? Kwa nini mumeiba kikombe cha bwana wangu ambacho