Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 43:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Wakamujibu: “Yule mutu alituuliza kwa makali sana juu ya mambo yetu na jamaa yetu akisema: ‘Baba yenu angali muzima? Muko na ndugu mwingine?’ Hivyo tukamujibu kulingana na maulizo yake. Tungaliweza namna gani kujua kwamba atatuambia: ‘Mulete ndugu yenu?’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 43:7
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sisi ni ndugu, wana wa baba mumoja. Sisi ni watu waaminifu, wala si wapelelezi.”


Wakamwambia: “Sisi, watumishi wako, tuko wandugu kumi na wawili, wana wa mutu mumoja, mwenyeji wa inchi ya Kanana. Mudogo wetu amebaki na baba kwa nyumba na ndugu yetu mwingine ni marehemu.”


Yosefu akawauliza habari zao na kusema: “Mulinielezea habari za muzee, baba yenu. Yuko salama? Angali muzima?”


Lakini Yuda akamwambia baba yake: “Yule mutu alituonya vikali, akisema: ‘Sitawapokea musipokuja na ndugu yenu mudogo.’


Israeli akasema: “Kwa nini mulinitia katika taabu kwa kumwambia yule mutu kwamba muko na ndugu mwingine?”


Bwana, wewe ulituuliza kama tuna baba au ndugu,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ