Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 43:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Lakini ikiwa hautakubali aende nasi, basi, hatutakwenda kule, maana yule mutu alituambia waziwazi: ‘Hamutaniona musipokuja na ndugu yenu mudogo.’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 43:5
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivi ndivyo mutakavyojaribiwa: Ninaapa kwa jina la mufalme wa Misri, kwamba hamutatoka hapa mpaka mudogo wenu atakapokuja.


Kisha mumulete kwangu ndugu yenu mudogo. Hii itahakikisha ukweli wa maneno yenu, nanyi hamutauawa.” Basi, wakakubali kufanya hivyo.


Lakini baba yake akamujibu: “Mwana wangu hatakwenda nanyi. Ndugu yake amekwisha kufa, naye peke yake ndiye aliyebaki. Mimi ni muzee mwenye imvi. Ikiwa kijana huyu atapatwa na hasara yoyote katika safari mutakayofanya basi, mutaniua kwa huzuni.”


Lakini Yuda akamwambia baba yake: “Yule mutu alituonya vikali, akisema: ‘Sitawapokea musipokuja na ndugu yenu mudogo.’


Kama utakubali ndugu yetu kwenda pamoja nasi, basi tutakwenda kukununua chakula.


Israeli akasema: “Kwa nini mulinitia katika taabu kwa kumwambia yule mutu kwamba muko na ndugu mwingine?”


Lakini wewe bwana ukatuambia kwamba kama hatutakuja na ndugu yetu mudogo, hautatupokea tena.


Naye alipotuambia tukuje tena huku kununua chakula,


tukamwambia: ‘Hatuwezi kwenda, isipokuwa tu kama ndugu yetu mudogo atakwenda pamoja nasi. Kama hatakwenda pamoja nasi hatuwezi kupokelewa na yule mutu.’


Uwaheshimu baba yako na mama yako, kusudi uishi maisha marefu katika inchi ninayokupatia mimi Yawe, Mungu wako.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ