Mwanzo 43:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200232 Yosefu alitayarishiwa chakula chake peke yake, na wandugu zake wakatayarishiwa peke yao. Vilevile Wamisri waliokula pamoja naye, wakatayarishiwa peke yao, maana ni chukizo kwa Wamisri kula chakula pamoja na Waebrania. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |