Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 43:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Yosefu alitayarishiwa chakula chake peke yake, na wandugu zake wakatayarishiwa peke yao. Vilevile Wamisri waliokula pamoja naye, wakatayarishiwa peke yao, maana ni chukizo kwa Wamisri kula chakula pamoja na Waebrania.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 43:32
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha akatoa sadaka kule kwenye mulima na kuwaalika wandugu zake wakule chakula. Kisha kula, wakabaki kule usiku kucha.


Yosefu alipomwona Benjamina pamoja nao, akamwambia musimamizi wa nyumba yake: “Uwapeleke watu hawa kwenye nyumba, uchinje nyama mumoja na kumutengeneza vizuri, maana watu hawa watakula nami chakula cha muchana.”


Museme: ‘Bwana, sisi watumishi wako, ni wafugaji wa nyama tangu utoto wetu mpaka leo, maana ndivyo babu zetu walivyokuwa.’ Museme hivyo kusudi muruhusiwe kukaa katika eneo la Goseni.” Yosefu alisema hivyo kwa sababu kwa Wamisri wachungaji wote wa kondoo ni chukizo.


Basi, Musa akaondoka kwa nyumba ya mufalme wa Misri, akamwomba Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ