Daudi akamujibu: “Ni vizuri, nitafanya agano nawe. Lakini ninakuomba jambo moja kwamba mbele haujaniona sharti kwanza uniletee Mikali binti ya Saulo. Hapo utaniona.”
Hakika nimeona namna watu wangu Waisraeli wanavyoteswa katika inchi ya Misri. Nimesikia kilio chao nami nimeshuka kwa kuwaokoa. Sasa kuja, nitakutuma kule Misri.’