Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 43:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 wakamwambia: “Tafazali, bwana! Sisi tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 43:20
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivyo wandugu kumi za Yosefu wakaenda kwa kununua ngano.


Wao wakamujibu: “Sivyo, bwana wetu. Sisi watumishi wako tumekuja kununua chakula.


Wakamujibu: “Yule mutu alituuliza kwa makali sana juu ya mambo yetu na jamaa yetu akisema: ‘Baba yenu angali muzima? Muko na ndugu mwingine?’ Hivyo tukamujibu kulingana na maulizo yake. Tungaliweza namna gani kujua kwamba atatuambia: ‘Mulete ndugu yenu?’ ”


Lakini Yuda akamwambia baba yake: “Yule mutu alituonya vikali, akisema: ‘Sitawapokea musipokuja na ndugu yenu mudogo.’


Walipokuwa wanamimina ngano kutoka mifuko yao, wakashangaa kuona kila mumoja wao amerudishiwa kifuko chake na feza ndani ya mufuko wake. Walipoona hayo, wote pamoja na baba yao, wakashikwa na hofu.


Ikakuwa walipofika pahali pa kulala wageni kwa njia, mumoja wao akafungua mufuko wake kusudi apate kumukulisha punda wake, akashangaa kukuta feza yake kwenye kinywa cha mufuko wake.


Kwa hiyo wakamwendea yule musimamizi wa nyumba ya Yosefu wakaongea naye wakiwa kwa mulango,


Tulipofika pahali pa kulala wageni kule katika njia, tukafungua mifuko yetu, tukashangaa kukuta feza ya kila mumoja wetu kwenye kinywa cha mufuko wake bila kuguswa. Sasa tumerudisha feza hiyo.


Mumoja wao akasema: “Ee bwana wangu, mimi na huyu mwenzangu tunakaa nyumba moja. Mimi nilizaa mutoto mwanaume huyu akiwa pale.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ