Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 43:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kisha kumalizika kwa kile chakula walichokuwa wamenunua kutoka Misri, Yakobo akawaambia wana wake: “Mwende tena Misri, mutununulie chakula kidogo.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 43:2
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha njaa ikazidi kuwa kali katika inchi ya Kanana.


wakamwambia: “Tafazali, bwana! Sisi tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.


Lakini Yuda akamwambia baba yake: “Yule mutu alituonya vikali, akisema: ‘Sitawapokea musipokuja na ndugu yenu mudogo.’


Kama utakubali ndugu yetu kwenda pamoja nasi, basi tutakwenda kukununua chakula.


Naye alipotuambia tukuje tena huku kununua chakula,


Afazali kuwa na kidogo na kumwogopa Yawe, kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na taabu.


Kiburi kinatangulia maangamizi; majivuno yanatangulia maanguko.


Anafikiri kununua shamba, kisha analinunua, na kulima zabibu kwa faida ya jasho lake.


Kama mutu asipotunza wandugu zake na hasa zaidi watu wa jamaa yake mwenyewe, huyu amekana imani yake naye ni mubaya kuliko mupagani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ