Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 43:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Yosefu alipomwona Benjamina pamoja nao, akamwambia musimamizi wa nyumba yake: “Uwapeleke watu hawa kwenye nyumba, uchinje nyama mumoja na kumutengeneza vizuri, maana watu hawa watakula nami chakula cha muchana.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 43:16
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Abramu akasema: “Ee Yawe, utanipa nini wakati ninaendelea kuishi bila mutoto, na murizi wangu ni Eliezeri wa Damasiki?


Isaka akaendelea kukomaa, na siku alipoachishwa kunyonya, Abrahamu akafanya karamu kubwa.


Basi, Isaka akawafanyia karamu, nao wakakula na kunywa.


Kisha akatoa sadaka kule kwenye mulima na kuwaalika wandugu zake wakule chakula. Kisha kula, wakabaki kule usiku kucha.


Musimamizi yule akafanya kama vile alivyoagizwa. Akawapeleka wale wageni kwenye nyumba ya Yosefu.


Kwa hiyo wakamwendea yule musimamizi wa nyumba ya Yosefu wakaongea naye wakiwa kwa mulango,


Kisha Yosefu akamwagiza musimamizi wa nyumba yake akisema: “Ujaze mifuko ya watu hawa ngano kipimo watakachoweza kubeba. Halafu, weka feza ya kila mumoja wao kwenye kinywa cha mifuko wake.


Walipokuwa wamesafiri mwendo mufupi tu kutoka muji, Yosefu akamwambia musimamizi wa nyumba yake: “Haraka! Ufuate wale watu, na utakapowakuta, uwaulize: ‘Kwa nini mumelipa mema muliyotendewa kwa maovu? Kwa nini mumeiba kikombe cha bwana wangu ambacho


Amechinja nyama wa karamu, divai yake ameitayarisha, ametandika meza yake.


Nikamate mikate yangu, maji yangu na nyama niliyowachinjia wakata manyoya ya kondoo wangu na kuwapa watu ambao sijui hata wanatoka wapi?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ