Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 43:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kisha njaa ikazidi kuwa kali katika inchi ya Kanana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 43:1
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati ule, njaa ikatokea katika inchi. Njaa hiyo ilikuwa kali, hivyo Abramu akalazimika kwenda Misri kukaa kule kwa muda.


Kwa hiyo Yawe akamwuliza Abrahamu: “Kwa nini Sara amecheka na kujiuliza kama kweli itawezekana apate mutoto akiwa muzee?


Kisha kukatokea njaa katika inchi ile, nyuma ya ile ya kwanza iliyokuwa kwa wakati wa Abrahamu. Isaka akakwenda Gerari kwa Abimeleki mufalme wa Wafilistini.


Basi, wana wa Israeli wakafika Misri wakiwa kati ya wanunuzi wengine, maana hata katika inchi ya Kanana kulikuwa njaa.


Kisha kumalizika kwa kile chakula walichokuwa wamenunua kutoka Misri, Yakobo akawaambia wana wake: “Mwende tena Misri, mutununulie chakula kidogo.”


Kisha wakamwambia mufalme: “Sisi watumishi wako tumekuja kukaa kama wageni katika inchi kwa sababu njaa ni kali kule Kanana na hakuna tena malisho kwa nyama wetu. Hivyo, bwana, tunakuomba, sisi watumishi wako, uturuhusu kukaa katika eneo la Goseni.”


Ngozi zetu zinawaka moto kama furu, kwa sababu ya njaa inayotuchoma.


utasema maneno haya mbele ya Yawe, Mungu wako: ‘Baba yangu alikuwa Musuria aliyetangatanga huko na huko, kisha akashuka kwenda Misri akaishi huko kama mugeni. Yeye na jamaa yake walikuwa watu wachache tu walipokuwa huko, lakini wakakuwa taifa kubwa lenye nguvu na watu wengi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ