Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 42:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Kisha muniletee yule ndugu yenu mudogo, na hapo nitajua kwamba ninyi si wapelelezi lakini ni watu waaminifu. Mukifanya hivyo nitamwacha huru ndugu yenu, nanyi mutaruhusiwa kufanya biashara katika inchi hii.’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 42:34
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tena Abimeleki akamwambia Abrahamu: “Angalia, inchi hii yote ni yangu! Basi, chagua popote unapopenda, ukae.”


Kwa hiyo mutaishi pamoja nasi; mutakuwa huru katika inchi hii. Mutaishi humu, mufanye biashara na kujipatia mali.”


“Watu hawa ni warafiki zetu. Tuwakaribishe waishi katika inchi yetu na kufanya biashara, kwa sababu tuko na inchi ya kututosha sisi na wao vilevile; kisha tutaoa wabinti zao na kuwaoshea binti wetu.


Hivi ndivyo mutakavyojaribiwa: Ninaapa kwa jina la mufalme wa Misri, kwamba hamutatoka hapa mpaka mudogo wenu atakapokuja.


Kisha mumulete kwangu ndugu yenu mudogo. Hii itahakikisha ukweli wa maneno yenu, nanyi hamutauawa.” Basi, wakakubali kufanya hivyo.


Kiasi hicho si pamoja na zahabu aliyopata kwa wafanyabiashara na wachuuzi, kwa wafalme wote wa Arabia na watawala wa inchi ya Israeli.


akavunja tawi lake la juu zaidi, akalipeleka katika inchi ya wachuuzi, akaliweka katika muji wao mumoja.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ