Mwanzo 42:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
32 Tukamwelezea kwamba sisi tuko wandugu kumi na wawili wa baba mumoja. Mumoja wetu ni marehemu na yule mudogo yuko kwetu katika inchi ya Kanana pamoja na baba yetu.
Wakamwambia: “Sisi, watumishi wako, tuko wandugu kumi na wawili, wana wa mutu mumoja, mwenyeji wa inchi ya Kanana. Mudogo wetu amebaki na baba kwa nyumba na ndugu yetu mwingine ni marehemu.”
Halafu mukubwa wa inchi hiyo akatuambia: ‘Hivi ndivyo nitakavyotambua kwamba kweli ninyi ni watu waaminifu. Muniachie kwangu ndugu yenu mumoja, nanyi wengine mupeleke ngano kwa jamaa zenu wenye njaa.