3 Hivyo wandugu kumi za Yosefu wakaenda kwa kununua ngano.
Wakamwambia: “Sisi, watumishi wako, tuko wandugu kumi na wawili, wana wa mutu mumoja, mwenyeji wa inchi ya Kanana. Mudogo wetu amebaki na baba kwa nyumba na ndugu yetu mwingine ni marehemu.”
Nimesikia kwamba Misri kuna ngano. Muende kule mununue ngano tusikufe na njaa.”
Lakini Yakobo hakumwacha Benjamina, ndugu ya Yosefu, aende pamoja nao maana aliogopa kwamba angeweza kupata hasara.
Basi, wana wa Israeli wakafika Misri wakiwa kati ya wanunuzi wengine, maana hata katika inchi ya Kanana kulikuwa njaa.