Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 42:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Yosefu akatoa amri wajaze mifuko yao na ngano na kumurudishia kila mumoja feza yake katika mufuko wake, na kuwapa chakula cha njia. Wakafanyiwa mambo hayo yote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 42:25
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakabebesha punda wao mizigo yao ya ngano, wakaondoka.


Mupeleke feza mara mbili ya ile inayohitajika, kwa sababu ni lazima murudishe feza ile iliyowekwa kwenye kinywa cha mifuko yenu; pengine ilirudishwa kwa makosa.


Basi, wana wa Israeli wakafanya kama vile walivyoagizwa. Yosefu akawapa magari kulingana na maagizo ya mufalme na chakula cha njia.


Ee ninyi wote wenye kiu mukuje kwenye maji! Mukuje, wote hata musiokuwa na feza; mununue chakula na mupate kula, mununue divai na maziwa. Bila feza, bila malipo!


Lakini mimi ninawaambia: muwapende waadui zenu na muwaombee wale wanaowatesa.


Lakini ninyi mushugulikie kwanza Ufalme wa Mungu na kufuata haki mbele yake, naye atawaongezea vitu vile vyote.


Musirudishiane mabaya kwa mabaya au matusi kwa matusi, lakini muombeane baraka, kwa sababu Mungu aliahidi kuwabariki ninyi wakati alipowaita kumufuata.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ