17 Kisha akawatia wote katika kifungo kwa muda wa siku tatu.
Mukubwa wa waaskari walinzi akachagua Yosefu awatumikie. Nao wakakuwa katika kifungo kwa muda fulani.
Basi, Yosefu akawauliza wakubwa wale wa mufalme waliokuwa katika kifungo pamoja naye katika nyumba ya bwana wake: “Mbona leo muko na nyuso za huzuni?”
Wakati ule ulipotukasirikia sisi watumishi wako, mimi na mupishi mukubwa wa mikate, ulitufungia ndani ya nyumba ya mukubwa wa waaskari walinzi.
Umenitendea vizuri mimi mutumishi wako, kama ulivyoahidi, ee Yawe.
Wote watakusanywa kama wafungwa katika shimo; watafungwa katika kifungo pamoja kwa miaka mingi, na kisha muda huo atawaazibu.
wakamutia katika kifungo mpaka pale watakapofunuliwa mapenzi ya Yawe.
Kwa hiyo wakawakamata na kuwatia katika kifungo mpaka kesho yake kwa maana ilikuwa imekwisha kuwa magaribi.
Basi wakafunga mitume na kuwapeleka ndani ya nyumba kubwa ya kifungo.
Wababa zetu wa kimwili walituadibisha kwa siku chache kufuatana na vile walivyoona kuwa vema. Lakini Mungu anatuadibisha kwa mafaa yetu kusudi tupate kushirikiana naye katika utakatifu wake.