14 Lakini Yosefu akawaambia: “Ni kama vile nilivyosema: ninyi ni wapelelezi tu.
Wakamwambia: “Sisi, watumishi wako, tuko wandugu kumi na wawili, wana wa mutu mumoja, mwenyeji wa inchi ya Kanana. Mudogo wetu amebaki na baba kwa nyumba na ndugu yetu mwingine ni marehemu.”
Hivi ndivyo mutakavyojaribiwa: Ninaapa kwa jina la mufalme wa Misri, kwamba hamutatoka hapa mpaka mudogo wenu atakapokuja.
Mbona unageuza uso wako mbali nami? Kwa nini unanitendea kama adui yako?
Ameichochea kasirani yake juu yangu; ameniona kuwa kama adui yake.