Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 42:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Sisi ni ndugu, wana wa baba mumoja. Sisi ni watu waaminifu, wala si wapelelezi.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 42:11
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Yosefu akawaambia: “Sivyo! Mumekuja hapa kwa kupeleleza uzaifu wa inchi yetu.”


Mutume mumoja wenu amulete yule ndugu yenu mudogo, wakati wengine wenu wanamungoja katika kifungo. Kwa hiyo ukweli wa maneno yenu utajulikana. Kama sivyo, ninaapa kwa jina la mufalme wa Misri kwamba ninyi ni wapelelezi.”


kama kweli ninyi ni watu waaminifu, mumoja wenu abaki katika kifungo na wengine wapeleke ngano kwa jamaa zenu wenye njaa.


Lakini sisi tukamwelezea kwamba sisi ni watu waaminifu na wala si wapelelezi.


Wakamujibu: “Yule mutu alituuliza kwa makali sana juu ya mambo yetu na jamaa yetu akisema: ‘Baba yenu angali muzima? Muko na ndugu mwingine?’ Hivyo tukamujibu kulingana na maulizo yake. Tungaliweza namna gani kujua kwamba atatuambia: ‘Mulete ndugu yenu?’ ”


Mutu anayesema kwa mamlaka yake mwenyewe, anajitafutia sifa yake mwenyewe. Lakini yeye anayetafuta sifa ya yule aliyemutuma, huyu ni mwenye ukweli wala hana ubaya wowote.


Lakini tunaonyesha katika mambo yote kwamba sisi ni watumishi wa Mungu: tumedumu sana katika mateso, katika ukosefu na katika taabu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ