Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 41:56 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

56 Njaa ikazidi kuwa kali na kuenea katika inchi yote. Kwa hiyo Yosefu akafungua gala zote, akawauzishia Wamisri chakula.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 41:56
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati ule, njaa ikatokea katika inchi. Njaa hiyo ilikuwa kali, hivyo Abramu akalazimika kwenda Misri kukaa kule kwa muda.


Lakini kisha itafuata miaka saba ya njaa, hata hiyo shibe isahaulike kabisa. Njaa hiyo itaangamiza inchi hii.


Uwaagize wasimamizi wale wakusanye chakula chote katika miaka saba inayokuja ya mavuno kwa wingi. Ngano hiyo iwekwe chini ya mamlaka yako, ee mufalme, ikuwe akiba ya chakula kwa miji yote, nao waitunze ngano hiyo.


Wakati wanainchi wa Misri walipoanza kuona njaa, wakamulilia mufalme awape chakula. Naye akawaambia Wamisri wote: “Mwende kwa Yosefu; mufanye neno lolote atakalowaambia.”


Zaidi ya hayo, watu toka kila pahali katika dunia walikuja Misri kwa Yosefu kununua ngano, maana njaa ilikuwa kali katika dunia yote.


Wakati ule Yosefu alikuwa mukubwa kule Misri. Yeye ndiye aliyekuwa akiwauzishia wanainchi ngano. Basi, kaka zake wakakuja na kuinama mbele ya Yosefu kwa heshima.


Kisha njaa ikazidi kuwa kali katika inchi ya Kanana.


Kisha miaka hiyo makumi saba, Yawe atauazibu muji wa Tiro, nao utarudia kufanya uzinzi kwa kujiuzisha kwa mataifa yote ya dunia.


Basi, yeye akaniambia: Ndani ya kitabu hicho kumeandikwa laana ambayo inchi nzima itakayoipata. Upande mumoja imeandikwa kwamba wizi wote watafukuzwa katika inchi, na upande mwingine imeandikwa kwamba wote wenye kuapa uongo watafanyiwa vile vile.


sawa mutego. Kwa maana Siku ile itawafikia watu wote wa dunia.


Kutokana na mutu mumoja, yeye aliumba watu wa mataifa yote kusudi waishi katika dunia yote. Aliwapangia nyakati na kukata mipaka ya inchi wanayopaswa kukaa ndani yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ