Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 41:45 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

45 Mufalme akamupa Yosefu jina la Kimisri: Safenati-Panea. Akamupa Asenati, binti ya Potifera, kuhani wa muji wa Oni kuwa muke wake. Basi, Yosefu akaanza kutembelea inchi nzima ya Misri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 41:45
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye Melkisedeki, mufalme wa muji wa Salemu, ambaye alikuwa kuhani wa Mungu Mukubwa, akaleta mukate na divai,


Mbele ya miaka ya njaa kuanza, Yosefu alikuwa amekwisha kupata wana wawili kwa muke wake Asenati, binti ya Potifera kuhani wa muji wa Oni.


Kule Misri, Asenati binti ya Potifera, aliyekuwa kuhani wa muji wa Oni, alimuzalia Yosefu wana wawili: Manase na Efuraimu.


Ira wa muji Yairi alikuwa vilevile kuhani wa Daudi.


Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa kiongozi wa Wakereti na Wapeleti. Wana wa Daudi wakakuwa makuhani.


Basi, wabinti saba wa kuhani mumoja wa kule Midiani wakafika kuchota maji na kuwakunywesha kondoo na mbuzi wa baba yao.


Ataivunja minara ya mungu wao inayokuwa huko Heliopoli katika inchi ya Misri, na atateketeza mahekalu ya miungu ya Misri kwa moto.


Vijana wanaume wa Oni na Pibeseti watauawa kwa upanga, na wakaaji wengine watapelekwa katika uhamisho.


Yule mukubwa wa watumishi akawapa majina mengine; akamwita Danieli kwa jina la Beltesaza, Hanania kwa jina la Sadiraki, Misaeli kwa jina la Mesaki na Azaria kwa jina la Abedenego.


Katika siku zile, Augusto, mufalme wa Roma akatoa amri kwamba wafanye hesabu ya watu wa utawala wake wote.


Na mumoja wao, aliyeitwa Agabo, akasimama, akatabiri kwa njia ya Roho Mutakatifu kwamba kutakuwa njaa kubwa katika dunia nzima. (Nayo ikatokea katika nyakati za utawala wa mufalme Klaudio wa Roma.)


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ