Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 41:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Shauri Yosefu alilotoa likaonekana kuwa jema mbele ya mufalme wa Misri na watumishi wake wote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 41:37
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Chakula hicho kitakuwa akiba ya kukinga inchi ya Misri isiangamie kutokana na njaa ya miaka saba itakayofuata.”


Kwa hiyo mufalme akawauliza watumishi wake: “Huyu mutu ana roho wa Mungu! Tunaweza kumupata mutu mwingine kama huyu?”


Habari zile zilipofika kwa nyumba ya mufalme, kwamba wandugu za Yosefu wamekuja, zikamufurahisha sana na watumishi wake.


Watu wote waliyaona mambo hayo, nao walipendezwa; kama vile kila kitu mufalme alichofanya kilivyowapendeza.


Basi, siku moja, Ahabu akamwambia Naboti: “Unipe shamba lako la mizabibu nilifanye shamba la mboga, kwa sababu liko karibu na nyumba yangu. Nitakupa shamba lingine zuri zaidi, au ukitaka nitakulipa feza sawasawa na bei yake.”


mpaka kile alichotabiri kilipotimia. Neno la Yawe likahakikisha kwamba alikuwa na haki.


Maneno ya mwenye haki ni kama feza bora. Akili ya mutu mwovu haifai kwa kitu chochote.


Neno linalosemwa kwa wakati unaofaa, ni kama michoro ya zahabu juu ya feza.


akamwokoa toka katika taabu yote aliyopata. Mungu akamujalia neema, apate kupendwa na Mufalme wa Misri na kuonekana kuwa mwenye hekima mbele yake. Mufalme yule akamuweka kuwa musimamizi wa inchi yake na wa nyumba yake yote.


Kuhani Finehasi na wakubwa wa jamaa za Waisraeli waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno hayo ya watu wa makabila ya Rubeni na Gadi na nusu ya kabila la Manase, wakafurahi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ