33 “Kwa hiyo inafaa sasa, ee mufalme, uchague mutu mwenye ujuzi na hekima, umupe kazi ya kuangalia inchi yote ya Misri.
Tena, ee mufalme, uchague wasimamizi wamoja hapa katika inchi, uwaagize wakusanye sehemu ya tano ya mavuno yote ya Misri katika kipindi hiki cha miaka saba ya shibe.
Kisha akamwambia Yosefu: “Kwa sababu Mungu amekufunulia haya yote, hakuna mutu mwingine mwenye akili na hekima kama wewe.
Basi, akasema kwa sauti: Angalia Babeli, muji mukubwa nilioujenga kwa nguvu zangu ukuwe makao yangu ya kifalme na kwa ajili ya utukufu wangu!
Hivi wandugu, muwachague wanaume saba kati yenu wenye ushuhuda muzuri, wenye kujazwa na Roho Mutakatifu na wenye hekima, kusudi tuwaweke kwa kazi hii.
Muchague kutoka katika kila kabila watu wenye hekima, akili na ujuzi kusudi niwafanye wakuwe viongozi wenu.’