31 Shibe hiyo itasahaulika kabisa kwa sababu njaa itakayofuata itakuwa kali sana.
Lakini kisha itafuata miaka saba ya njaa, hata hiyo shibe isahaulike kabisa. Njaa hiyo itaangamiza inchi hii.
Ndoto yako ilirudiliwa mara mbili kwa mifano inayofanana kwa kukuonyesha kwamba Mungu ameamua, naye atatimiza jambo hili sasa hivi.
Inapepesuka kama mulevi, inayumbayumba kama kibanda. Imelemewa na muzigo wa zambi zake nayo itaanguka wala haitasimama tena.
Yawe aliwaazibu vikali na kuwatisha watu wa Asidodi. Aliwaazibu, hata na wajirani zao, kwa kuwaletea ugonjwa wa majipu.