Kijana yule hakusita hata kidogo kutimiza sharti hilo, kwa vile alivyomupenda binti ya Yakobo, ingawa ni yeye ndiye aliyeheshimika kuliko wote katika nyumba yao.
Lakini hata nyuma ya kuwakula wale wanono, mutu yeyote asingeweza kutambua kwamba wamewakula wenzao, maana walikuwa tu wamekonda sana kama vile mwanzo. Halafu nikaamuka katika usingizi.
Halafu, nyuma ya wale, ngombe wengine saba waliokonda sana wakatoka katika muto Nili, wakakuja na kusimama karibu na wale ngombe wazuri na wanono, kando ya muto.