2 akaona ngombe saba wazuri na wanono wakitoka ndani ya muto na kula nyasi.
Ilipofika mwisho wa miaka miwili mizima, mufalme wa Misri akaota ndoto: alijikuta amesimama kando ya muto Nili,
nikaona ngombe saba wazuri na wanono wakitoka katika muto na kula nyasi.
Halafu, nyuma ya wale, ngombe wengine saba waliokonda sana wakatoka katika muto Nili, wakakuja na kusimama karibu na wale ngombe wazuri na wanono, kando ya muto.
Nyasi zinaota tu penye tingitingi, matete yanastawi pahali panapokuwa maji.
Mifereji yake itatoa harufu mbaya, vijito vyake vitapunguka na kukauka. Nyasi na matete yake yataoza.
Sehemu za kandokando ya Nili zitakuwa tupu. Mimea yote iliyopandwa humo itakauka na kupeperushiwa mbali na kutoweka.