Mwanzo 41:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 nikaona ngombe saba wazuri na wanono wakitoka katika muto na kula nyasi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Yawe anasema hivi: Na kama vile wanavyozitendea zile tini mbaya, tini zinazokuwa mbaya hata hazifai kukuliwa, ndivyo nitakavyowatendea mufalme Zedekia wa Yuda, wakubwa wa serikali yake pamoja na watu wengine wote wa Yerusalema waliobaki katika inchi hii, na vilevile wale ambao walihamia katika inchi ya Misri.