Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 41:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 nikaona ngombe saba wazuri na wanono wakitoka katika muto na kula nyasi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 41:18
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu mufalme akamwambia Yosefu: “Niliota kwamba nimesimama kando ya muto Nili,


Hao wakafuatwa na ngombe wengine saba zaifu, wembamba na wamekonda sana. Mimi sijapata kuona ngombe wa hali hiyo katika inchi ya Misri.


akaona ngombe saba wazuri na wanono wakitoka ndani ya muto na kula nyasi.


Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Kama tini hizi zinavyokuwa nzuri, ndivyo nitakavyowaona kuwa wema watu wa Yuda ambao niliowaondoa toka nafasi hii na kuwapeleka katika uhamisho katika inchi ya Wababeli.


Yawe anasema hivi: Na kama vile wanavyozitendea zile tini mbaya, tini zinazokuwa mbaya hata hazifai kukuliwa, ndivyo nitakavyowatendea mufalme Zedekia wa Yuda, wakubwa wa serikali yake pamoja na watu wengine wote wa Yerusalema waliobaki katika inchi hii, na vilevile wale ambao walihamia katika inchi ya Misri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ