Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 40:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Mutunza vinywaji mukubwa wa mufalme akamwelezea Yosefu ndoto yake, akisema: “Katika ndoto yangu niliona muzabibu mbele yangu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 40:9
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati fulani nyuma ya mambo hayo, wakubwa wawili waliomutumikia mufalme wa Misri wakamukosea. Wakubwa wale walikuwa mutunza vinywaji mukubwa na mupishi mukubwa wa mukate wa mufalme.


nao ulikuwa na matawi matatu. Mara tu ulipoanza kuchipuka majani, maua yake yakachanua na vishada vyake vikakuwa zabibu zenye kukomaa.


Mufalme wa Misri akawakasirikia wale wakubwa wake wawili,


Wakamujibu: “Tuna huzuni kwa sababu tumeota ndoto na hakuna anayeweza kututafsiria ndoto zetu.” Yosefu akawaambia: “Kutafsiri ndoto si kazi ya Mungu? Basi, muniambie ndoto zenu.”


Katika ndoto yako, ee mufalme, uliona sanamu kubwa, yenye nguvu na iliyoangaa sana, ikisimama mbele yako. Sanamu hiyo ilikuwa ya kutisha sana.


Muti uliendelea kukomaa, ukakuwa imara na kilele chake kikafika mbinguni. Uliweza kuonekana kutoka kila pahali katika dunia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ