Mwanzo 40:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Wakamujibu: “Tuna huzuni kwa sababu tumeota ndoto na hakuna anayeweza kututafsiria ndoto zetu.” Yosefu akawaambia: “Kutafsiri ndoto si kazi ya Mungu? Basi, muniambie ndoto zenu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |