Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 40:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Hata hivyo, yule mutunza vinywaji mukubwa akamusahau Yosefu, pahali pa kumukumbuka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 40:23
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ilipofika mwisho wa miaka miwili mizima, mufalme wa Misri akaota ndoto: alijikuta amesimama kando ya muto Nili,


Halafu, yule mutunza vinywaji mukubwa akamwambia mufalme: “Leo ninakumbuka makosa yangu!


Mufalme akauliza: “Tumemupa Mordekayi heshima au sifa gani kwa jambo hili?” Watumishi wake wakamujibu: “Hajafanyiwa jambo lolote.”


Wandugu zangu na warafiki hawanisaidii tena.


mpaka kile alichotabiri kilipotimia. Neno la Yawe likahakikisha kwamba alikuwa na haki.


Waadui zangu wote wananizarau, na hasa zaidi wenzangu. Warafiki zangu wameniona kuwa kitisho; wanaponiona katika njia wananikimbia.


Nimesahaulika kama mutu aliyekufa; nimekuwa kama chungu kilichovunjikavunjika.


Munakunywa divai katika mabakuli, na kujipakaa marasi mazuri kabisa. Lakini hamuhuzuniki hata kidogo juu ya kuangamia kwa wazao wa Yosefu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ