Mwanzo 40:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Mufalme wa Misri akawakasirikia wale wakubwa wake wawili, အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Herode alikuwa amechunga hasira sana juu ya watu wa muji Tiro na wa Sidona. Lakini wakapatana kwa nia moja kwa kumwendea. Kwanza wakasikilizana na Balasto, aliyekuwa musimamizi wa nyumba ya mufalme. Kisha wakaomba mapatano ya amani kwa mufalme Herode, kwa sababu inchi yao ilitegemea inchi ya mufalme huyo kwa kupata chakula.