Katika kitunga cha juu, kulikuwa aina mbalimbali za mikate kwa ajili ya mufalme. Lakini, ndege walikuwa wakikula kutoka kitunga kile juu ya kichwa changu!”
Basi, kijana mumoja Mwebrania, mutumishi wa jemadari wa waaskari walinzi, alikuwa pamoja nasi katika kifungo. Tulipomwelezea ndoto zetu, yeye aliweza kutuelezea kila mumoja wetu kulingana na ndoto yake.
Wote walikunywa kinywaji kimoja cha kiroho; kwa maana walikunywa maji yaliyotoka ndani ya lile jiwe lililosafiri pamoja nao, nalo jiwe lilikuwa Kristo.